Je, kipigo cha aibu alichopigwa bondia Mtanzania Seleman Said hakijatutangaza kidunia na kuimarisha sekta ya utalii?

Je, kipigo cha aibu alichopigwa bondia Mtanzania Seleman Said hakijatutangaza kidunia na kuimarisha sekta ya utalii?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nadhani yatupasa tusimlaumu wala kumsema vibaya Bondia Selaman Saidi kwa aibu ya Kufungia mwaka aliyotupa Watanzania jana pale nchini Saudi Arabia bali badala yake nadhani Watanzania wote hasa kwa Serikali kupitia Waziri wake Hamis Kigangwala wanatakiwa wamuandalie Mapokeza makubwa sana ambayo tokea Historia ya Tanzania hayajawahi Kutokea.

Jana huyu Bondia Seleman Said nina uhakika kwa Kipigo cha Kimakusudi kabisa na Kujiangusha Kwake vile Kizembe huku akijua kuwa tayari ameshaingizwa ‘ Mtonyo ‘ katika Akaunti yake na Kambi ya Mpinzani wake atakuwa ameshakuwa Gumzo duniani na ‘automatically‘ Tanzania hapo imetambulika Kimataifa hivyo Watalii sasa watakuwa wanakuja wa Wingi kukutana, Kuwacheka na kuwashangaa akina Selemani Said (Wazembe na Goigoi) wengine tuliopo hivyo itaongeza Pato katika Sekta ya Utalii nchini.

Mimi alichoniacha hoi tu huyu Bondia alipoanguka tu alilala chini muda mwingi akijifanya Kaumia lakini aliposikia tu Mwenzake katangazwa Mshindi akaamka haraka na kuanza Kucheka huku nikiwa naangalia Jeraha lolote Usoni mwake sikuliona ndipo nikajua kuwa jana Watanzania tumefanywa ‘Mazuzu‘ na Yeye.
 
Ni shidaah alafu aliku anarusha ngum kama demu
Zile ngumi zake ni wazi kua lazima angechezea kipondo.

Ila mtu wa miaka 30 kupigwa na kijana wa miaka 18 ni aibu ya mwaka.

Sema tusimlaum sana maana Anthony Joshua na mwili wake wa six pack, mrefu na mwili uliogawanyika alichezea kipondo kutoka kwa jamaa lenye kitambi, limejaa nyama, sembuse yeye.
 
Ni shidaah alafu aliku anarusha ngum kama demu

Yawezekana akawa ni Demu vile vile labda Jina lake lilikosewa Kuandikwa. Mwanaume harushi Ngumi Ki Kike Kike vile kama Yeye.
 
Mchezo wa pesa huo,nakubali nipige,zangu ngapi kwenye mgao?.eewe so unataka ko,eleweka,ndicho alichofanya huyu mpumbavu suleiman said,kaiabisha nchi.
 
Hapa kipondo tu
FB_IMG_1571146497103.jpeg
 
Back
Top Bottom