Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I too want to know... Halafu last time nilifanya hio kitu but hata wazo la kujiulizahow?
I too want to know.... alafu last time nilifanya hio kitu but hata wazo la kujiuliza
Ulicho jiuliza halikuwepo kabisa.... Thus very interesting....
unajua hata mimi nashangazwa na jinsi Madaktari wanavyokipa umuhimu hiki kipimo.
Na kila nikipima na kuonyesha hakuna tatizo ni kama wana dismiss haja ya kupima vipimo vingine...
sasa ndo najiuliza,hiki kipimo ni nini hasa?
kaka we nenda moja kwa moja ukacheki digambo - mambo ya kuanza ku beep kwa full blood picture ya kizamani hayo. dawa si zipo unaogopa nini?
Je ni dawa gani unaweza kutumia kuweka kwenye choo chako ili kuzuia infection kwenye choo chako?Niliwahi kuona ikiwa imewekwa kwenye choo ni ya rangi ya bluu nikiwa kwenye nyumba flani nilikokuwa nimetembelea ila sijui kama ndiyo yenyewe
dawa za kutibu nini zipo?
halafu wewe umenifurahisha naona kama umedandia lile daladala la bi kiroboto:biggrin1: you know what i mean " mada" ila hiyo dawa nafikiri ziko za aina tofauti tofauti i.e. Harpic.Je ni dawa gani unaweza kutumia kuweka kwenye choo chako ili kuzuia infection kwenye choo chako?
Niliwahi kuona ikiwa imewekwa kwenye choo ni ya rangi ya bluu nikiwa kwenye nyumba flani nilikokuwa nimetembelea ila sijui kama ndiyo yenyewe