Denda ni kitu cha kiasili kwenye suala la mapenzi, inatuqia ngumu kujua cha asili kwasababu tunakisikia na kukiona kabla tuja pevuka na kukifanya So tukija kukifanya tunaona kama just tumeiga ila si kweli.
Njia ya kujua ni asili kaa na mwanamke wako au uliye na hisia nae kwenye faragha tu msogeleane uso utaona MVUTANO WA USUMAKU wakifanya hiko kitu, kuna vitu vingi vya kiasiri kwenye tendo ambavyo tuja vi unlock tu.
Talking kuwa kitu cha kiasili hakifundishwi sio kweli maana kutembea tumefunzwa, kuongea nk
Naamini hata mtu ashushwe tu leo akafanya kitendo atajua pakuingiza na akifanya mara kadhaa atapiga denda bila kuwai kuona