Kupgana na Pka[emoji23][emoji23][emoji23]Je kitu gani cha kipumbavu zaidi ulichowahi kukifanya?
Binafsi kulala na mwanafunzi mwenzangu(Ke) wakati niko sec bwenini na kujisahau mpaka kukutwa Asubuhi yake na matroni,
Hakika nilichapika plus suspension mwisho wa siku nilijiona bonge la mpumbavu kwa nini sikugemua tu na kusepa usiku ule ule.
CC Zero IQ
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kupakua sauce ya pilipili nikijua ni mboga!
Lile tukio huwa silisahau
Sent using Jamii Forums mobile app