GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Binafsi ni kama vile simuelewi simuelewi hadi ninaanza kuhisi kuwa huenda hata Inonga kamjaza Sumu za Simba SC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tengenezeni timu, Simba ilivyo mbovu Kila mtu mtamuona ana hujumu.Nilisikitika Inonga alivyobadilila.....kuanza hujuma...
Mmmmmm mm niko upande ule wenye rahaaasTengenezeni timu, Simba ilivyo mbovu Kila mtu mtamuona ana hujumu.
Na wakina mutale uliowaona jana nao wamepigwa miba🤣🤣🚮Binafsi ni kama vile simuelewi simuelewi hadi ninaanza kuhisi kuwa huenda hata Inonga kamjaza Sumu za Simba SC.
Kwani si bado mnajenga naye timu? AU?Binafsi ni kama vile simuelewi simuelewi hadi ninaanza kuhisi kuwa huenda hata Inonga kamjaza Sumu za Simba SC.
Nasikia yule Mtoto Kipenzi cha Wengi katika Midfield kwa sasa kabla ya kuja Tanzania aliaga Kwao na kaja Kajikamilisha.Juju ilo mkuu Genta
Acha Bange / Bangi basi Mkuu sawa?Kwani si bado mnajenga naye timu? AU?
Nasikia yule Mtoto Kipenzi cha Wengi katika Midfield kwa sasa kabla ya kuja Tanzania aliaga Kwao na kaja Kajikamilisha
Haya si maneno yangu mkuu, ni ya timu yenu. Kwamba mnajitafuta. Cha ajabu badala ya kujitafutia mazoezini, nyie mnajitafutia mashindanoni.Acha Bange / Bangi basi Mkuu sawa?
Ngoma umri umeendaBinafsi ni kama vile simuelewi simuelewi hadi ninaanza kuhisi kuwa huenda hata Inonga kamjaza Sumu za Simba SC.
Sijui huwaga wanapatwa na nn, wachezaji wa kigeni kukengeukaa,Nilisikitika Inonga alivyobadilila.....kuanza hujuma...