Je, Kiungo Fabrice Ngoma kapigwa Miba na Jamaa waliokuwa Wakimtaka na tukawatekea JNIA au tusibishe Kiwango chake sasa Kimekwisha tu?

Je, Kiungo Fabrice Ngoma kapigwa Miba na Jamaa waliokuwa Wakimtaka na tukawatekea JNIA au tusibishe Kiwango chake sasa Kimekwisha tu?

Dirisha dogo inabidi tuachane na ngoma tutafute namba nane mwingine wa kimataifa then fundi wa boli kiboko ya nyuma mwiko deborah fernandez xavi iniesta pirlo gaucho mavambo acheze kama namba 10 au ahuwa arudi namba 8.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Ngoma hajashuka kiwango bali Simba ndio imepanda kiwango kiasi Ngoma na Muzamiru wasipokuwa makini ndio basi tena. Ngoma na Muzamiru walikuwa wakikosekana kwenye first eleven msimu ulioisha mashabiki wa Simba wanachanganyikiwa. Lakini msimu huu pale kati kuna Mavambo na Kagoma na huku Okejepha yupo benchi kwa hiyo sio rahisi kwa mashabiki wa Simba kukumbuka kuwa Muzamiru na Ngoma bado wapo Simba.
 
Back
Top Bottom