Je, kiwango cha fedha kwa ajili ya kupima COVID-19 kwa wasafiri kimezingatia uhalisia?

Je, kiwango cha fedha kwa ajili ya kupima COVID-19 kwa wasafiri kimezingatia uhalisia?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
0001-15254344835_20210107_130357_0000.png

Baada ya Serikali Kutangaza kuwa Wasafiri wote wanaokwenda nje ya Nchi wanapimwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa gharama ya Dola za Kimarekani 100 ambazo ni sawa na Tsh. 231,900

Kupitia mitando ya Kijamii Watanzania wamehoji uhalisia wa tozo hiyo na kuelezea kuwa haina uhalisia

Mfano Mfanyabiashara anayekwenda Nairobi Kenya kwa basi nauli yake ni ndogo kuliko gharama za kupima ugonjwa huo

Aidha, wapo waliosema kuwa gharama hizi zitawakatisha tamaa Watalii kurudi tena nchini kwani wapo ambao kwenye Nchi zao kipimo ni Euro 60 tu ambayo ni sawa na Tsh. 170,000
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom