Meneja CoLtd
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 122
- 143
Habari zenu wana JF!
Baada ya kuwaza sana kuhusu hivi viwanja vya mikopo vinavyouzwa, vyenye ukubwa wa Futi 50 Kwa 40 kama je, vinatosha kujenga nyumba?
Kwangu Mimi nimeona itatosha endapo pale mnunuzi atakua hana mambo mengi.
Kama vile kujenga vyumba vinne, choo cha ndani na sebule Kwa vipimo hivi nilivyotumia.
Mafundi naomba mnipe msaada hapa kwenye hii ramani yangu, je inakidhi vigezo?
Baada ya kuwaza sana kuhusu hivi viwanja vya mikopo vinavyouzwa, vyenye ukubwa wa Futi 50 Kwa 40 kama je, vinatosha kujenga nyumba?
Kwangu Mimi nimeona itatosha endapo pale mnunuzi atakua hana mambo mengi.
Kama vile kujenga vyumba vinne, choo cha ndani na sebule Kwa vipimo hivi nilivyotumia.
Mafundi naomba mnipe msaada hapa kwenye hii ramani yangu, je inakidhi vigezo?