Je, Kizz Daniel anafikia tamati?

Je, Kizz Daniel anafikia tamati?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Juni 2022: Alizua hasira nchini Zambia, nusura show yake izuiwe kufuatia dharau kwa waandishi wa habari na kumsukuma shabiki yake mmoja aliyejaribu kumpa Maua wakati akiwasili Uwanja wa Ndege.

Julai 2022: Alizomewa na Mashabiki Maryland nchini Marekani baada ya kuchelewa kwa masaa manne na kusababisha kutupiwa vitu wakati akitumbuiza jukwaani.

Julai 2022: Aliwakasirisha mashabiki wa Denver nchini Marekani baada ya kuifuta show yake ambayo aliyakiwa kuifanya na kupelekea mashabiki kutumia mitandao ya kijamii kumshambulia.

August 2022:
Aliwasili Tanzania saa chache kabla ya show huku akishindwa kutumbuiza kwa sababu mbalimbali ikiwemo begi lenye mavazi kusahaulika Airport alikotoka.

Screenshot_20220810-072226.jpg


Ninini hasa kimo kwenye mkufu wake mmoja wa dhahabu mpaka akaghairi kuimba hadi auvae!?
 
Basi tu si Watanzania wastaarabu kwa nilivyo fuatilia matukio yake kwenye youtube channel ya Simulizi na Sauti, huyu ingetakiwaa arudishe hela na uharibifu uliofanyika ukumbini.

Eti wanarudia show Ijumaa ingetakiwa anyooshwe, nina mwanangu ilikuwa bado kidogo aende kwenye hii show.
 
Tangu wololoo yake ipwndwee, bas tafran tupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Out our Topic.

Yaani ww shukuru Jumamosi, nitakuwa nipo porini, hizi kelele zenu wakati mmecheza na wazamiaji kutoka Ethiopia zinatunyima raha mtaani.
 
Alikuwa msanii wa kawaida tu kabla ya kutoa Buga,kabla ya hapo hit song yake ilikuwa Woju tu,sio mara ya kwanza kuharibu alishaharibu hadi kwenye label yake iliyomtoa ya G worldwide na kupelekea kuvunjwa kwa mkataba wake na kulipa mabilioni pamoja na kuporwa account zake zote za Instagram,Youtube hadi jina aliporwa akaanza kujiita kizz Daniel badala ya Kiss Daniel,Wanaijeria wanammaindi kinoma wanasema dogo anavimba sana na hayupo humble kama kina Davido na Wizkid,Nigeria Davido haoni shida kupaki Lamborghini yake usewazi jijini Lagos na akaingia mgahawa wa mama ntilie kula na kupiga story na washkaji na ndio maana hachuji mpaka leo,,sasa Wanaija wana wivu sana wa kimaendeleo wakiona mtu ana vihela kidogo kama huyo Kizz Daniel halafu anavimba zitafanyika jitihada zote kumpoteza ni suala la muda tu
 
Alikuwa msanii wa kawaida tu kabla ya kutoa Buga,kabla ya hapo hit song yake ilikuwa Woju tu,sio mara ya kwanza kuharibu alishaharibu hadi kwenye label yake iliyomtoa ya G worldwide na kupelekea kuvunjwa kwa mkataba wake na kulipa mabilioni pamoja na kuporwa account zake zote za Instagram,Youtube hadi jina aliporwa akaanza kujiita kizz Daniel badala ya Kiss Daniel,Wanaijeria wanammaindi kinoma wanasema dogo anavimba sana na hayupo humble kama kina Davido na Wizkid,Nigeria Davido haoni shida kupaki Lamborghini yake usewazi jijini Lagos na akaingia mgahawa wa mama ntilie kula na kupiga story na washkaji na ndio maana hachuji mpaka leo,,sasa Wanaija wana wivu sana wa kimaendeleo wakiona mtu ana vihela kidogo kama huyo Kizz Daniel halafu anavimba zitafanyika jitihada zote kumpoteza ni suala la muda tu
Ni kweli hayo yote lakini mbona wakati yupo G worldwide alikuwa na hit nyinginezo pia
Woju
Laye
Mama
Yeba

Hizi zote zilifanya powa tu nadhani ana tatzo la kama ego fulani hivi anakuwa nayo.
 
Out our Topic.

Yaani ww shukuru Jumamosi, nitakuwa nipo porini, hizi kelele zenu wakati mmecheza na wazamiaji kutoka Ethiopia zinatunyima raha mtaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mnaumia na kuteseka mnoooo?? Mbna bado muda wa kutoa kilio chenyewe??? Wazamiaji??? Akati wako ktk CAFCL hati hati mnakutana nae

Jmos tunawapiga na mzungu wenu mliopewa km Zawadi.
 
Back
Top Bottom