Je, Klynn bado yupo kwenye fani?

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
19,697
Reaction score
15,497
 
Last edited by a moderator:
je huyu Klynn bado ni mwanamziki?huu wimbo hope huwa anauimba usiku wakiwa na mzee wake...
 
lakini mziki nao ni biashara...angeendelea nao!!

Mkuu mziki wa kibongobongo unahitaji uvumilivu sana, angalia akina Bushoke, Dudu baya, Lamira Lanee, Mr, Nice, matonya, na wengine wengi. Ukiona hupati sana support kwa mashabik tafuta biashara zingine. alisona alama za nyakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…