Je, Kocha wa Taifa Stars Amrouche kupenda kuficha Kikosi kwa Watanzania ni takwa la nani?

Je, Kocha wa Taifa Stars Amrouche kupenda kuficha Kikosi kwa Watanzania ni takwa la nani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Screenshot 2023-10-12 092221.png


GENTAMYCINE sikutaka kumdharau huyu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche, ila kwa jibu alilolitoa baada ya kuulizwa kwanini anapenda kukificha Kikosi chake cha Taifa Stars kutokukitaja kwa Watanzania na kujibu kuwa anafanya hivyo kwakuwa akikitaja Waandishi wa Habari, Wachambuzi Wadadisi na Werevu (akina GENTAMYCINE na baadhi) na Watanzania watakijadili, watakikosoa na kitawavunja moyo wachezaji wake na watafungwa na timu pinzani hakina nimelazimika rasmi kumdharau pamoja na waliomuajiri.
 
View attachment 2779618

GENTAMYCINE sikutaka kumdharau huyu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche, ila kwa jibu alilolitoa baada ya kuulizwa kwanini anapenda kukificha Kikosi chake cha Taifa Stars kutokukitaja kwa Watanzania na kujibu kuwa anafanya hivyo kwakuwa akikitaja Waandishi wa Habari, Wachambuzi Wadadisi na Werevu (akina GENTAMYCINE na baadhi) na Watanzania watakijadili, watakikosoa na kitawavunja moyo wachezaji wake na watafungwa na timu pinzani hakina nimelazimika rasmi kumdharau pamoja na waliomuajiri.
Ila kocha kwa hili lazingua sana, timu ya taifa ni yetu siyo familia yake. Juu ya yote tunatakiwa kuwajua mabalozi wetu wanaoenda kutuwakilisha.
 
View attachment 2779618

GENTAMYCINE sikutaka kumdharau huyu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Adel Amrouche, ila kwa jibu alilolitoa baada ya kuulizwa kwanini anapenda kukificha Kikosi chake cha Taifa Stars kutokukitaja kwa Watanzania na kujibu kuwa anafanya hivyo kwakuwa akikitaja Waandishi wa Habari, Wachambuzi Wadadisi na Werevu (akina GENTAMYCINE na baadhi) na Watanzania watakijadili, watakikosoa na kitawavunja moyo wachezaji wake na watafungwa na timu pinzani hakina nimelazimika rasmi kumdharau pamoja na waliomuajiri.
Hivi TFF si ina Afisa habari? Kazi yake nini kama siyo kumuandalia Kocha vikao na waandishi wa habari? Je, tuna uhakika Clifford anaandaa hivyo vikao ila Amrouche ndo anakataa?
Isijekuwa ni siasa za kitanzania kuficha Wachezaji ili kuepusha ubishi wenu usio na faida wa timu ipi Kati ya Simba na Yanga imetoa Wachezaji wengi?
 
Hivi TFF si ina Afisa habari? Kazi yake nini kama siyo kumuandalia Kocha vikao na waandishi wa habari? Je, tuna uhakika Clifford anaandaa hivyo vikao ila Amrouche ndo anakataa?
Isijekuwa ni siasa za kitanzania kuficha Wachezaji ili kuepusha ubishi wenu usio na faida wa timu ipi Kati ya Simba na Yanga imetoa Wachezaji wengi?
Lazima watu wawachambue wachezaji, maana ni wawakilishi wetu. Hata huko kwa Malkia Getilakusini anakula za uso kwa kuendelea kumbeba shemejiye Magwaya, yaani humwambii kitu.
 
Shida ni kwa wananchi!! Ina maana leo hii watu wakjitokeza na kusema kama utaratibu ndio huo, hiyo sio timu yetu, na itakapokuwa inacheza hatuendi uwanjani, au tukienda tunashabikia timu ngeni, huo ujinga utaendelea? Unaficha kikosi ili kuepuka ukosoaji? Lakini kwakuwa wanaojitambua wengi hawapendi mpira, na wasiojitambu ndio wanapenda mpira.
 
Shida ni kwa wananchi!! Ina maana leo hii watu wakjitokeza na kusema kama utaratibu ndio huo, hiyo sio timu yetu, na itakapokuwa inacheza hatuendi uwanjani, au tukienda tunashabikia timu ngeni, huo ujinga utaendelea? Unaficha kikosi ili kuepuka ukosoaji? Lakini kwakuwa wanaojitambua wengi hawapendi mpira, na wasiojitambu ndio wanapenda mpira.
Kweli kabisa, ni kulianzisha. Wote tunapenda mpira sema wanajitambua ni wachache.
 
Mimi naona yupo sahihi.
tabia za madunduka kupangia makocha apangeje kikosi. Nafikili keshauona huu ujinga.
 
Kweli kabisa, ni kulianzisha. Wote tunapenda mpira sema wanajitambua ni wachache.
Hiyo ndio dawa!! Huo ni ujinga timu yetu, harafu eti inaitwa kimya kimya, yote ni kukwepa ukosoajji tu, mbona dunia nzima, ukosoaji upo tu!! Dawa yao ni hiyo tu, hakuna kwenda uwanjani au mkienda mnashabikia timu pinzani tu, ubaya ubaya tu.
 
Hiyo ndio dawa!! Huo ni ujinga timu yetu, harafu eti inaitwa kimya kimya, yote ni kukwepa ukosoajji tu, mbona dunia nzima, ukosoaji upo tu!! Dawa yao ni hiyo tu, hakuna kwenda uwanjani au mkienda mnashabikia timu pinzani tu, ubaya ubaya tu.
Humo humo.....
 
Mkitajiwa mnaanza zenu Mara aaah!anamuachaje mzize alafu amchukue bocco!!????bora ameficha tu maana wa bongo mnavamia fani msizokuwa na uwezo nazo
 
Mimi naona bora tu kuficha kuliko kila wakati kukitanfaza kikosi. Kwa sababu hakuna kichoharibika ikiwa taarifa zote za wachezaji zimeshakwenda kwenye club husika
 
Back
Top Bottom