felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Habrini wadau
Je kwa wakati kama huu, je ni kozi zipi za ufundi zinazotolewa kwenye vyuo vya serikali kama VETA kijana anayependa kujiajiri kwa kufungua ofisi yake zina soko kubwa kwa sasa kama akisomea.
Kozi za ufundi kama
Ufundi Umeme wa Magari (Auto Electric – AE)
Mekania wa Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM)
Ufundi wa Baridi na Viwanda vya Hewa (Refrigeration and Air Conditioning – RAC)
Usakinishaji Umeme (Electrical Installation – EL)
Msaidizi wa Maabara (Laboratory Assistant – LA)
Uandishi na Programu za Kompyuta (Secretarial & Computer Application – SC)
Ufundaji Mbao na Joinery (Carpentry and Joinery – CJ)
Umeme wa Kielektroniki (Electronics – ELEC)
Ubunifu wa Usindikaji na Teknolojia ya Nguo (Design Sewing & Clothing Technology – DSCT)
Masonry na Uwekaji Matofali (Masonry and Bricklaying – MB)
Je kwa wakati kama huu, je ni kozi zipi za ufundi zinazotolewa kwenye vyuo vya serikali kama VETA kijana anayependa kujiajiri kwa kufungua ofisi yake zina soko kubwa kwa sasa kama akisomea.
Kozi za ufundi kama
Ufundi Umeme wa Magari (Auto Electric – AE)
Mekania wa Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM)
Ufundi wa Baridi na Viwanda vya Hewa (Refrigeration and Air Conditioning – RAC)
Usakinishaji Umeme (Electrical Installation – EL)
Msaidizi wa Maabara (Laboratory Assistant – LA)
Uandishi na Programu za Kompyuta (Secretarial & Computer Application – SC)
Ufundaji Mbao na Joinery (Carpentry and Joinery – CJ)
Umeme wa Kielektroniki (Electronics – ELEC)
Ubunifu wa Usindikaji na Teknolojia ya Nguo (Design Sewing & Clothing Technology – DSCT)
Masonry na Uwekaji Matofali (Masonry and Bricklaying – MB)