Je kuanzisha mahusiano na mtu toka mtandaoni ni udhaifu

Je kuanzisha mahusiano na mtu toka mtandaoni ni udhaifu

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Asallam aliykum wadau wana JF leo nawaletea huu UZI zipo kauli au hulka ya baadhi ya watu wakidai ya kuwa ni udhaifu hasa kwa mwanaume kutongoza msichana kutoka ktk mitandao ya kijamii na wapo wadau wanasema mahusiano yanayopatikana kutoka ktk mitandao ya kijamii huwa hayadumu. Je wadau wachambulizi wa mambo mnalisemeaje hili jambooo na kama wapo waliowahi kupata mchumba kutoka social network embu share uzoefu wako
 
Back
Top Bottom