Je, kucha zilisha mgharimu Zari kama wengine?

kababae

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2017
Posts
280
Reaction score
246
Habari wakuu, Naomba kuuliza kama yanayosemwa na watu wengi kuwa kucha husababisha "k" kutema.. kuna picha mbali mbali Zari ameonekana na kucha ndefu, swali. Ni je kucha ndefu ndio chanzo cha Hamisa kuzaa na Diamond??

Msaada jamani napenda kujifunza vitu vipya.. ili nikoa mke asifuge mikucha..
 
Hilo mbona lipo bayana mkuu....ukiona mwanamke ana mikucha mirefu ujue chini "Juma kapuya".......afu hivi nyinyi wanawake huwa hamuiskii ile smell?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] juma kapuya
 
Hizo kucha haziathiri chochote kwenye kujisafisha...mana hairuhusiwi kujiingiza vidole,,ni anaosha tu vzuri USO wa uke na Maji mengi masafi anatakata,,labda kucha zihifadhi uchafu wa huko chini km upo ila anajisafisha tu,,,uke unasafishwa km uso tu,,,bila kujiingza mavidole

Ingawa kucha ndefu kwa mtu mwenye kinyaa ni uchafu hasa kwenye maandalizi ya chakula,,mana sometimes huweka uchafu sasa ukikara nyanya uchafu unaweza kutoka ukaingia kwenye nyanya au Michele unaooshwa a mboga za majani
 
+255620000000 namba ya diamond hiyo hapo ebu mpigie umuulize ningekupa ya Ivan sema ndiyo hivyo ashatangulia mbele ya haki aliko hakuna network.
 
Duh! Work really really!![emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…