Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
SWALI langu ni moja tu: Je, kufanya ngono mara kwa mara kunadhoofisha mwili? najua humu JF kuna wataalamu wa afya wa viwango mbalimbali. Naombeni mnisaidie hapo kwa kunijibu kisayansi maana naskia Ile kitu inayotoka kwa mwanaume ni "pure protein"
JF hamjawahi kuniangusha. karibuni.
JF hamjawahi kuniangusha. karibuni.