Chochote kizuri kwa ccm ni halali na kisichofurahia ccm ni jinai!.
Mambo ya haki, sheria na wajibu, ni hadithi za kale mjomba.
BTW, huna sababu ya kumtafuta LEMA kwa sheria. Naona unalazimisha eti "kaingilia mazungumzo ya nani sijui". Usihangaike kwa kuwa unachotaka kumpigilia nacho Lema kimeshadunda.
Una uwezo wa kwenda nyumbani kwake ukamkamata, ukampeleka kokote unakojua na ukipata ushauri wa namna ya kumfanya, unamfikisha polisi. Hapo utaandikishwa kama "kikosi kazi", cha namna yoyote, utamsingizia namna yoyote, na kwa msaada wa hao jamaa zenu, basi utakuwa umetimiza ndoto zako juu ya damu yake.
Sheria za nini tena? Hazina umuhimu!. Kikubwa ni utashi wako.