Habari ndugu.
Nina fremu ya biashara nauza maji na vinywaji kwa bei ya jumla lakini kwa sababu ya ufinyu wa nafasi nimeamua kujengea nondo mbele ya frem ili angalau kuweka bidhaa ambazo zimekosa nafasi ndani (nadhani wengi tumeona maduka mengi ya vinywaji wanavyofanya.).
Sasa, kama kichwa cha mada kilivyo naomba kufahamu je hili jambo la kutakiwa kuwa na kibali cha manispaa lipo kisheria? Maana ninasumbuana na watu wa serikali za mtaa wanataka nisimamishe ujenzi hadi nipate kibali cha manispaa ili kujengea nondo kwenye fremu yangu ya biashara Kinondoni.
Nina fremu ya biashara nauza maji na vinywaji kwa bei ya jumla lakini kwa sababu ya ufinyu wa nafasi nimeamua kujengea nondo mbele ya frem ili angalau kuweka bidhaa ambazo zimekosa nafasi ndani (nadhani wengi tumeona maduka mengi ya vinywaji wanavyofanya.).
Sasa, kama kichwa cha mada kilivyo naomba kufahamu je hili jambo la kutakiwa kuwa na kibali cha manispaa lipo kisheria? Maana ninasumbuana na watu wa serikali za mtaa wanataka nisimamishe ujenzi hadi nipate kibali cha manispaa ili kujengea nondo kwenye fremu yangu ya biashara Kinondoni.