Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafugika tu. Ila akisha pandwa anadata kabisa na dyudyu, anaweza kuhama kwako akahamia nyumbani kwa kina jogooHivi BROILER nikiwafuga kienyeji yaani wajitafutie chakula kwani kuna shida gani?
Hawezi akalalia. Huyo ni slay QueenJe unatumia kiatamishi ili kuangua mayai?
Sijawahi mkuu! je nikimpa chakula bila dawa kuna tatizo?Umeshawahi kuwafuatilia hata kwa masaa mawili tu ujue wanakula chakula na maji kwa kiasi gani?Hicho chakula tu lazima kiende pamoja na mchanganyiko wa dawa mbalimbali pembeni maji ya kunywa mengi.Umejiandaaje kuwakabili pakashume,vicheche na mijibwa mijizi watakaowanyemelea wawatafune?Kama unataka wawe ma-models,sawa!
Wana malezi na ukuaji tofauti na wetu wa asili.Usidanganyike kuwabwaga tu na kuendelea na mambo yako,utakula hasara.Sijawahi mkuu! je nikimpa chakula bila dawa kuna tatizo?
Mimi lengo langu ni kukwepa kununua chakula dukani maana nasikia zina gharama sana ila kama ni chanjo nawapatiaWana malezi na ukuaji tofauti na wetu wa asili.Usidanganyike kuwabwaga tu na kuendelea na mambo yako,utakula hasara.
Pumba tuu na mashudu...Na inatakiwa niwape chakula cha ziada au
Fb kuna mtu kakujibu vizuri.Rudi umsome.Mimi lengo langu ni kukwepa kununua chakula dukani maana nasikia zina gharama sana ila kama ni chanjo nawapatia
chakula nataka niwe nawapa pumba za mahindi, je hapo nitakuwa nimepunguza hasara ambayo ningeweza kuipata?