Je, kulala kwenye sakafu kunasaidia kupunguza uzito?

Je, kulala kwenye sakafu kunasaidia kupunguza uzito?

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
Nimekutana na jamaa anadai kuwa mtu akilala kwenye floor au tiles basi atapungua kilo moja, je Kuna ukweli gani kuhusu hili?
 
Wewe jamaa acha kula kula hovyo na fanya mazoezi utapungua

Acha uvivu utadanganywa hadi ufe
 
kinachomfanya apungue sio tiles, bali ni discomfort anayoipata ya kutokulala vizuri na kupumzisha vyema mwili wake pindi atapolala chini.
nitajitolea mfano mimi mwenyewe; kuna kipindi katika utafutaji wangu nilikuwa nafanya kazi za night shift, nilikuwa naenda mpaka night 7 au 8 mfululizo kiwandani, usiku nikipata uchovu nalala kwenye kiti au sakafuni kwenye mabox.
ilikuwa nikimaliza night shift mwili unakua umedhoofu, uso hauna nuru na weight imekata kwa grams kadhaa.
 
Waharabu wanakaa kwa sakafu na kulala lakini mibong'isa tu.
 
Yanga hii Ni Nina,kesho Simba kinamkuta kile kike kilichompata na ud songo
 
Back
Top Bottom