Je, kulalamika kwa kila jambo ndiyo suluhisho?

Je, kulalamika kwa kila jambo ndiyo suluhisho?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kumekuwa na tabia yetu kulalamika kwa kila jambo!

Tulalamike lakini tutoe na Suluhu

Mpaka Sasa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ipongezwe walau kwa 40% ya Mambo imeyafanya kwa asilimia hizo Kati ya 100%

Tujikumbushe ishu Moja ya Msingi

Uhuru wa habari upo

Amani imerudi kwa 40% ukilinganisha kwa wakati mchache Uliopita.

Tumpongeze, kunayo Nguvu Kubwa ya kummislead ionekane Mwanamke hawezi, pamoja na hayo Jambo Kubwa ambalo amekosea i kutoa Mtazamo wake Juu ya Kesi ya Mbowe Kabla ya Majaji kusikiliza na kuhukumu.

Mauaji yanayoendelea nchini si kwamba ni mapya, yapo siku zote ila kwa Samia kumekuwapo Ukweli na Uwazi Zaidi kuliko Zama za vigunia vya wafu fukweni.

Wapinzani wamekatazwa mikutano isiyo na vibali lakin hata wakiomba vibali hawapati,

Zanzibar imependelewa sana kuliko inavyopaswa!

Cha kufanya Mama haya review haya mambo upya tuendelee na Safari ya kumuweka kwenye Safari ya kumbukumbu njema!

Britannica
 
Mtateseka sana kama mliendelea kusubiri kwamba Kuna siku watu wote watafanana mtizamo!Kwenye huku kukinzana na kukosoana ndio jambo bora hutokea!
Toa maoni Yako na acha wengine watoe ya kwao!
Kamwe hatuwezi kufanana mtizamo!
 
Kumekuwa na tabia yetu kulalamika kwa kila jambo!

Tulalamike lakini tutoe na Suluhu

Mpaka Sasa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ipongezwe walau kwa 40% ya Mambo imeyafanya kwa asilimia hizo Kati ya 100%

Tujikumbushe ishu Moja ya Msingi

Uhuru wa habari upo

Amani imerudi kwa 40% ukilinganisha kwa wakati mchache Uliopita.

Tumpongeze, kunayo Nguvu Kubwa ya kummislead ionekane Mwanamke hawezi, pamoja na hayo Jambo Kubwa ambalo amekosea i kutoa Mtazamo wake Juu ya Kesi ya Mbowe Kabla ya Majaji kusikiliza na kuhukumu.

Mauaji yanayoendelea nchini si kwamba ni mapya, yapo siku zote ila kwa Samia kumekuwapo Ukweli na Uwazi Zaidi kuliko Zama za vigunia vya wafu fukweni.

Wapinzani wamekatazwa mikutano isiyo na vibali lakin hata wakiomba vibali hawapati,

Zanzibar imependelewa sana kuliko inavyopaswa!

Cha kufanya Mama haya review haya mambo upya tuendelee na Safari ya kumuweka kwenye Safari ya kumbukumbu njema!

Britannica
Haitakuwa mnajidanganya
 
Sasa kama hadi luteni wa jeshi tena komando kabisa nawakataa ndugu zake na kuwauza makomando wenzake kwanini watu wasilalamike.
 
Lililo wazi, pasi kumung'unya maneno, maono na utendaji kazi wa Rais wa Awamu ya Tano, ndio chanzo cha malalamiko yanayoendelea
 
Back
Top Bottom