Je, kumuonesha Mwanamke Uume kama njia ya kumvuta kimapenzi ni sahihi?

Je, kumuonesha Mwanamke Uume kama njia ya kumvuta kimapenzi ni sahihi?

winnerian

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
379
Reaction score
603
Nimesikia na kusoma visa vingi vya wanaume kutanguliza picha au kuonesha uume kama kianzio cha kumvutia mwanamke.

Je, ni kweli kuwa hii ni njia sahihi ambayo inamfanya mwanamke kupata ushawishi?

Majibu tafadhali
 
Hayo mashimo yanayoingia Hadi vyupa vya Pepsi ndio mnashindana navyo ?

ile sehemu inapanuka na kichwa cha mtoto chenye upana wa sufuria kinapita ,Leo unakuja kutaka kupakomoa na kakijitu kakoo ka CM 20 ?

ifike hatua muache kutwanga maji kwenye kinu😅😅😅😅
 
Nimeskia na kusoma visa vingi vya wanaume kutanguliza picha au kuonesha uume kama kianzio cha kumvutia mwanamke.

Je, ni kweli kuwa hii ni njia sahihii ambayo inamfanya mwanamke kupata ushawishi?

Majibu tafadhali
Hapa ndipo ngozi nyeusi tunapozaraulika, wenzetu wanawaza namna gani yakucreate ajira na kubuni teknologia mbali mbali sisi tunawaza ngono tu [emoji35]
 
[emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096][emoji2096]
hahahaaa....hauna kapicha hapo![emoji12][emoji12][emoji12][emoji23]
Hahaha.....niangalie kwenye zipu uone kama nasadifu kuwa yaliyomo yanaweza kuwemo?
 
Back
Top Bottom