chief yaweza kuwa mimba au siyo mimba .kwanini nasema yaweza kuwa siyo mimba? kuna matatizo ya kisaikologia mfano hofu ,wasiwasi, msongo wa mawazo yanazidinganya na kuzibadilisha tezi za endocrine zizalishe au kutoa homonia zinazosababisha mwili wa mwanamke kuwa na dalili kama anamimba kama ulizotaja
chamsingi ili kuhakiki kama anamimba unaweza
1)kwenda hospitali na kupima kama ni mimba au ni tatizo la kihomonia au ni magonjwa mengine kama infection na magonjwa ya ngono
2)kama unaona uvivu kwenda hospitali nenda hata pharmacy ukachukua kipimo kinachoitwa urinary preganancy test maelekezo jinsi ya kutumia utaelekezwa na mphamasia,doctor, au nurse anayeuza hapo pharmacy