Je, kuna dawa ya kuongeza nguvu za 'kike'?

Askari Muoga

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
6,113
Reaction score
4,658
Wadau,

Kila siku nasikia kwenye radio, tv, mitandao na vyanzo mbalimbali vya habari kuhusu dawa za kuongeza nguvu za kiume, je hakuna dawa ya kuongeza nguvu za kike?
 
Mwanamke hapungukiwagi nguvu, hii ni kwa sababu yeye anapokea kutoka kwa mwanaume na mwanaume huwa anatoa.
Umeelewa lakinii
 
sidhani km zinahitajika maana pia sijawahi sikia mwanamke amekosa nguvu za kike.
 
Dawa ya kuongeza nguvu za kike ipo ni ya kuspray inafanya papa kua na ganzi yn utapiga ujuavyo ila hasikii kitu mnaweza hata mkapanga foleni na mkakimbia wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…