Je, kuna dawa ya kusaidia kuirudisha tumbo baada ya Mwanamke kujifungua?

Je, kuna dawa ya kusaidia kuirudisha tumbo baada ya Mwanamke kujifungua?

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
2,734
Reaction score
1,778
Mwanamke akiwa na mimba nyama ya tumbo huvutika kutokana na mzigo uliomo tumboni, anapojifungua nyama ile huchukua mda mrefu kabla ya kurudi kwenye hali yake.

Je, kuna dawa ya kusaidia kuirudisha katika hali yake kwa mda mfupi?
 
Mwanamke akiwa na mimba nyama ya tumbo huvutika kutokana na mzigo uliomo tumboni, anapojifungua nyama ile huchukua mda mrefu kabla ya kurudi kwenye hali yake.

Je, kuna dawa ya kusaidia kuirudisha katika hali yake kwa mda mfupi?

Hii inategemea Na maumbile ya mtu...mfano mimi nina watoto wa3 ila ngozi yangu haijavutika iko vile vile... Mwingine hushuka kabisa na kurudi sio rahisi wachache sana hupata bahati ya kurudi...
 
Hata hawa wanaojifanya matabibu asili hakuna ajuaye kweli?
 
Mwanamke akiwa na mimba nyama ya tumbo huvutika kutokana na mzigo uliomo tumboni, anapojifungua nyama ile huchukua mda mrefu kabla ya kurudi kwenye hali yake.

Je, kuna dawa ya kusaidia kuirudisha katika hali yake kwa mda mfupi?
Dawa ni mazoezi tu!
 
Dawa ni mazoezi...soma success stories za J Lo, Heidi Klum, Victoria Beckham, Ciara, Amber Rose....weengi tu! Na hata program za hayo mazoezi zipo online. Ni uvivu tu unaoharibu shape za dada zetu baada ya kujifungua!
Weka link hapa nifuatilie
 
wale hawafanyi mazoezi tu hata surgery zinawahusu.
Dawa ni mazoezi...soma success stories za J Lo, Heidi Klum, Victoria Beckham, Ciara, Amber Rose....weengi tu! Na hata program za hayo mazoezi zipo online. Ni uvivu tu unaoharibu shape za dada zetu baada ya kujifungua!
 
Dawaa nii majii ya matoo tu huwaa baada ya kujfungua unakandwaa majii asbh na jioni kwaa muda wa sik 7 tu
Maji ya moto yanapogusana direct na ngozi, yanafanya unakuwa na tumbo la kutepeta

Unaweza nunua chupa za mpira zile unaweka maji ya moto, then unakuwa unajikanda. . Japo maji ya moto yanasaidia zaidi kutoa uchafu tumboni

Wanashauri as soon as ukipona chini even after 2 weeks, you should start sexual intercourse inasaidia kukaza tumbo
 
Maji ya moto yanapogusana direct na ngozi, yanafanya unakuwa na tumbo la kutepeta

Unaweza nunua chupa za mpira zile unaweka maji ya moto, then unakuwa unajikanda. . Japo maji ya moto yanasaidia zaidi kutoa uchafu tumboni

Wanashauri as soon as ukipona chini even after 2 weeks, you should start sexual intercourse inasaidia kukaza tumbo
Hyoo Ni kw Afyaa bt kwny Dini ya islamic mama alyetkaa kujfngua anatkiwa baada ya 40 ndyoo anatkiw au anawez kfnya tna sexual intrcs
 
Mkuu hloo naloo nenoo ilaa kwaa Ninavyoonaa famlia nyng mfanoo... Wake zaa wat wng huwa wananfngulia kwaoo amaa ukwenii hii inakfnya mume unakuw mbalii na mkeoo dn badae ikfkaaa 40 ndyoo kuna usemii huwa wanasma vunjaa jungu hyooo[emoji7][emoji8][emoji40][emoji13]
 
Back
Top Bottom