je kuna dawa za kuongeza nguvu za kike?

lukme

Senior Member
Joined
Apr 18, 2012
Posts
191
Reaction score
24
wasalaam aleikum wana jf. napenda kuuliza km kuna dawa za kuongeza nguvu za kike km walivyo wanaume. au je wao hawapati matatizo wayapatayo wanaume?
 
wasalaam aleikum wana jf. napenda kuuliza km kuna dawa za kuongeza nguvu za kike km walivyo wanaume. au je wao hawapati matatizo wayapatayo wanaume?

dah napata kizunguzungu hapa
 
Dawa ya nguvu ya kike tumia hii Juisi ya Tangawizi nusu kijiko pamoja na yai la kuku wa kienyeji liliochemshwa na Asali safi mbichi ya nyuki. Tumia kila siku kwa muda wa mwezi mmoja kisha unipe feedback.@lukme P.h.D.MziziMkavu
 
Dawa ya nguvu ya kike tumia hii Juisi ya Tangawizi nusu kijiko pamoja na yai la kuku wa kienyeji liliochemshwa na Asali safi mbichi ya nyuki. Tumia kila siku kwa muda wa mwezi mmoja kisha unipe feedback.@lukme P.h.D.MziziMkavu

mbona hujamwambia hiyo juice anatengenezaje ?
Ni hiyo Asali anatumia vip
please weka full recipe
:flypig:
 
Hivi nguvu ya kike ikoje aisee?
Ni kwamba mwanamke ana pizz within short time au maana am kind puzzled lol!
 
dawa ya nguvu za kiume humsaidia mashine usisinyae mapema sasa iyo ya nguvu za kike mmh ya kazi gani unataka kufanya masaa24?
 
Please read my post subjected "Common health problems...", I have got natural cure for the issue you raised.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Du you have that problem?@lukme
If so, call +255 763573246 or 0714043181
gona help you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…