denis eliah
Member
- Aug 14, 2017
- 49
- 68
Tume Kua Tukiona Au Kusikia Kila Siku Kuhusiana Na Matibabu Au Dawa Zinazo Tolewa Na Madaktari, Wataalamu, Matabibu Zinazo Husiana na kukuza maumbile ya binadamu kama umme, makalio, matiti, unene, na mengineyo... je ni kweli dawa hizi zipo
1:- kukuza/kurefusha/kunenepesha uume
2:- kukuza makalio (matako)
3:- kukuza/kupunguza matiti
4:-kuongeza/kupunguza unene
Kama zipo tunaomba ushirikiano wenu matabibu, pia msisahau hasara zake, na faida
1:- kukuza/kurefusha/kunenepesha uume
2:- kukuza makalio (matako)
3:- kukuza/kupunguza matiti
4:-kuongeza/kupunguza unene
Kama zipo tunaomba ushirikiano wenu matabibu, pia msisahau hasara zake, na faida