Je kuna faida gani kwenye KILIMO KWANZA?

Je kuna faida gani kwenye KILIMO KWANZA?

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
3,988
Reaction score
1,308
Kwa yeyote anaefahamu naomba alinijulishe kama kuna faida yoyote mkulima anayoweza kunufaika nayo kutoka kwenye program ya kilimo kwanza kama mafunzo, dawa za mimea na mbolea. Kuondolewa kodi kwenye machinery kwa ajili ya kilimo na kadhalika.

Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom