Wanajukwaa habari za mchana.
Napenda kujua ukiwa umeagiza Gari nje ni gharama gani nyingine unatakiwa kulipia pale bandarini baada ya Gari kufika bandarini na kulipa gharama za TRA.
Nilikuwa kwenye mchakato wa kuagiza Gari lakini gharama za pale bandarini zijazielewa?
Ahsante kwa ushirikiano
Napenda kujua ukiwa umeagiza Gari nje ni gharama gani nyingine unatakiwa kulipia pale bandarini baada ya Gari kufika bandarini na kulipa gharama za TRA.
Nilikuwa kwenye mchakato wa kuagiza Gari lakini gharama za pale bandarini zijazielewa?
Ahsante kwa ushirikiano