Ngoja nikusaidie wasikutishe, cha msingi andaa elfu 50 ya kuLog In Tancis, wewe nenda kampuni ya clearing and forwarding waombe uwalipe hiyo hela wata log in kisha utasubiria karatasi ya makadirio toka tra, utaenda lipia ila pia lazima ujue gari itakuja kwa meli ipi, ukiijua meli beba hela yako kama dollars 15-25 hivi, utalipia hapo, kisha utaenda kwa kampuni ya clearing uta log in, utapata reference number ukiwa unasubiria karatasi ya tra mtandaoni ukizipata, utaenda lipia benk, pale bandarini tafuta reflector unazamia tena pita geti no 2(omba wale askari tu kuwa unaenda kula pale kwenye mghahawa kisha huyo unaenda pale kwenye jengo lao utaona agents kibao wamezagaa nje na reflectors zao ukitaka kuoita geti no 1 utafeli) kupeleka ili nao waLog In utakaa kusubiria ila tu uwe na subira, kuhusu gharama za bandarini hazifiki laki 3, wewe komaa tu mimi nilitoa gari pale kibishi, hawa maajent wazinguaji tu, jamaa alitaka mil 1 atoe gari mbali ya kodi wakati nikalipa laki 2 naa... nikalitoa.
Komaaa