Je, kuna haja ya barua zote kutoka Vilabu vyetu zipitie kwanza TFF ndio ziende CAF?

Je, kuna haja ya barua zote kutoka Vilabu vyetu zipitie kwanza TFF ndio ziende CAF?

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Kutokana na barua iliyoandikwa na Yanga juu ya malalamiko ya mpira uliopigwa na Stéphan kuwa na makosa mengi ya uandishi na claims ambazo hazikufanyiwa analysis za kutosha, kitu ambacho kimeenda kushusha hadhi ya mpira wa Tanzania na kuleta majadiliano makubwa ndani ya administration ya CAF, je kuna haja ya kuhakikisha barua zote zinapitia TFF kabla ya kutumwa?

Mzozo mkubwa ndani ya CAF, ni as to how wao wamepanga matokeo ya mchezo kitu ambacho CAF inakusudia kuijibu Yanga kuwa walete evidence ya match fixing or else watalipa fine au kufungiwa msimu mzima kutoshiriki michuano yoyote ya CAF for the whole fiscal year au kulipishwa fine na kwa pamoja kufungiwa ushiriki wao CAF.

Kama CAF wakitekeleza hili, hii itakuwa ni hatari kwa soka letu.

Nadhan kuna haja barua zote za vilabu zipitie kwanza TFF for validation ndio ziende CAF, ili kuepuka ukurupukaji na inadequate analysis itakayogharimu taifa
 
Hii kitu inaonekana inakusumbua sana. Kila sikua unainzishia thread mypa badala ya kuendelea na thread ulizokwisha anzisha.

Pole sana; naona mwishowe ni wewe utakata rufaa kuwa CAF iwafungie Yanga kwa kuandika barua ile, na hawatakusikiliza. Jiandae kisaikolojia, maana umeanza kupata mfadhaiko.
 
Hii kitu inaonekana inakusumbua sana. Kila sikua unainzishia thread mypa badala ya kuendelea na thread ulizokwisha anzisha. Pole sana; naona mwishowe ni wewe utakata rufaa kuwa CAF iwafungie Yanga kwa kuandika barua ile, na hawatakusikiliza. Jiandae kisaikolojia, maana umeanza kupata mfadhaiko.

Ha ha kwanini
 
Kutokana na barua iliyoandikwa na Yanga juu ya malalamiko ya mpira uliopigwa na Stéphan kuwa na makosa mengi ya uandishi na claims ambazo hazikufanyiwa analysis za kutosha, kitu ambacho kimeenda kushusha hadhi ya mpira wa Tanzania na kuleta majadiliano makubwa ndani ya administration ya CAF, je kuna haja ya kuhakikis
Ni kwamba uelewa wako kwenye lugha ya kiingereza ni finyu au?
 
Kwenye swala la. Kudai haki yanga hajawahi kuwa muoga engana nao mfungie msimu ujao
 
Ni yuleyule aliyekuwa kwenye kesi ya Benard Morrison?😂😂😂
Sasa hivi ana experience ya kutosha hadi anaaminiwa na FIFA; mpe credit yake. Yeye ni bora kuliko wewe na wote wanaopikga kelele hapa.

Sote tulipoanza kazi kwenye professions zetu hatukuwa wakamilifu ukitulinganisha na leo; baada ya muda tunaiva. yeye pia kaiva sasa
 
Kwenye kulalamikia goli ningewaelewa ila match fixing ni mwendelezo wa hii timu kutotumia akili. Nafikiri walifanya hivyo kutaka kutengua matokeo. Wapo wengi kama kamati ila mimi mmoja naweza kuwa vizuri kuliko hiyo kamati
 
Kutokana na barua iliyoandikwa na Yanga juu ya malalamiko ya mpira uliopigwa na Stéphan kuwa na makosa mengi ya uandishi na claims ambazo hazikufanyiwa analysis za kutosha, kitu ambacho kimeenda kushusha hadhi ya mpira wa Tanzania na kuleta majadiliano makubwa ndani ya administration ya CAF, je kuna haja ya kuhakikisha barua zote zinapitia TFF kabla ya kutumwa?

Mzozo mkubwa ndani ya CAF, ni as to how wao wamepanga matokeo ya mchezo kitu ambacho CAF inakusudia kuijibu Yanga kuwa walete evidence ya match fixing or else watalipa fine au kufungiwa msimu mzima kutoshiriki michuano yoyote ya CAF for the whole fiscal year au kulipishwa fine na kwa pamoja kufungiwa ushiriki wao CAF.

Kama CAF wakitekeleza hili, hii itakuwa ni hatari kwa soka letu.

Nadhan kuna haja barua zote za vilabu zipitie kwanza TFF for validation ndio ziende CAF, ili kuepuka ukurupukaji na inadequate analysis itakayogharimu taifa
Hii Tabia mliyojengewa na CCM Mtu akidai haki mnamuona mhaini ni upumbavu. Acheni aliyeona kaonewa adai haki yake. Yanga wameitaka CAF ifanye uchunguzi na kama kuna uonezi Wenye vimelea vya rushwa hatua zichukuliwe. Labda wewe ndo hukuelewa kilichoandikwa.
 
Mwanasheria wa Yanga aliyeandika barua hiyo yuko kwenye kamati ya sheria ya FIFA.

Wewe mtu wa kijiweni una qualification gani za kuweza kuhoji uamuzi wa mwanasheria anayetambulika kimataifa?

Hata vilaza huwa wanapata nafasi sehemu mbalimbali. Yule jamaa sijui ni mwanasheria wa wapi. Hajui hata maana ya match fixing. Badala ya kulalamika goal kukataliwa na Referee . Anasema match fixing. Kilaza sana.
 
Mwanasheria wa Yanga aliyeandika barua hiyo yuko kwenye kamati ya sheria ya FIFA.

Wewe mtu wa kijiweni una qualification gani za kuweza kuhoji uamuzi wa mwanasheria anayetambulika kimataifa?
Ndo huyu huyu aliyegaragazwa na Bernard Morrison. Hamna kitu mle. Ni empty set
 
Kutokana na barua iliyoandikwa na Yanga juu ya malalamiko ya mpira uliopigwa na Stéphan kuwa na makosa mengi ya uandishi na claims ambazo hazikufanyiwa analysis za kutosha, kitu ambacho kimeenda kushusha hadhi ya mpira wa Tanzania na kuleta majadiliano makubwa ndani ya administration ya CAF, je kuna haja ya kuhakikisha barua zote zinapitia TFF kabla ya kutumwa?

Mzozo mkubwa ndani ya CAF, ni as to how wao wamepanga matokeo ya mchezo kitu ambacho CAF inakusudia kuijibu Yanga kuwa walete evidence ya match fixing or else watalipa fine au kufungiwa msimu mzima kutoshiriki michuano yoyote ya CAF for the whole fiscal year au kulipishwa fine na kwa pamoja kufungiwa ushiriki wao CAF.

Kama CAF wakitekeleza hili, hii itakuwa ni hatari kwa soka letu.

Nadhan kuna haja barua zote za vilabu zipitie kwanza TFF for validation ndio ziende CAF, ili kuepuka ukurupukaji na inadequate analysis itakayogharimu taifa
Kama mtuhumiwa ni TFF je..!??
 
Mleta mada, kinachokupa taabu ni uelewa wa lugha ya Kiingereza. Yanga hawajatuhumu moja kwa moja kuhusu match fixing. Wameitaka CAF ichunguze kama kuna uwezekano wa kuwepo na match fixing kutokana na sababu walizozieleza.
 
Back
Top Bottom