Je, kuna jitihada za dhati za kumaliza rushwa na ufisadi?

Je, kuna jitihada za dhati za kumaliza rushwa na ufisadi?

Pac the Don

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2021
Posts
6,170
Reaction score
7,710
Nimetafakar san jambo hili lakini binafsi sioni jitihada wala nia ya dhati ya kukomesha ufisadi, rushwa, ubadhirifu wa mali za umma!! Hivi kwel tunaona tume zikiundwa mara vikosi kazi! Je kwann haviundwi vikosi kaz vya kuchunguza ufisadi, na rushwa?

Tumeona report nying za CAG mpaka kuweka waz vitengo husika kweny ubadhirifu na ufisadi, lakini hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa kwa wahusika, mwisho wa siku ngoma inalala!! Je utawala wetu unabariki ufisadi na hayo mengine niliyoelezea? Kama hapana je kwann hawawachukulii hatua wahusika? Na kama wanachukuliwa hatua mbona kimya kimya?

Hatuwaoni wahusika pale kisutu au Mahakama nyingine? Kama Taifa ni vzr tupate majibu juu ya tatizo sugu mnoo la ufisadi,rushwa na ubadhirifu! NB; kila kukicha tunaona Mahakamani washtakiwa wa wizi wa kuku, mbuzi, ng'ombe, mara wezi wa milion mbili za halmashauri, lakini wezi wa Billions kamwe huez waona Mahakaman na kupelekwa kwa bwana jela.
 
Rushwa, takilima au bakishishi ni tatizo lisilokwisha na halitaweza kwisha, labda kupunguza makali yake itawezekana. Maana wanaoitukuza ni wajanja zaidi kuliko watunga sera na vyombo vya kupambana na rushwa. Rushwa ndo chanzo cha huduma mbovu kwa wasiotoa na pia rushwa ni kama kimiminika kinacho lainisha pasipo fikika.

Ushauri wangu unajikita zaidi kwa serekali kuboresha mifumo ya kielekitroniki, ili kupunguza kidogo mianya ya rushwa. Mfano ukienda hospitali za serikali na pesa tasilimu huduma utapata chapu, lakini jichanganye uende na bima huduma hapa ni za kusuasua na muda mwingine utaambiwa hakuna dawa. Basi, ili kulimaliza hili ama kulipunguza ingekuwa vyema sote tukatumia bima za afya. Hii ni kwa upande wa hospitali tu. Jaribi fikikia sekita nyingine nini kifanyike.

Ukiona haiwezekani basi jua wanufaika ni wengi na ndio maana hawataki kuikomesha.
 
Labda ccm itoke kwanza madarakani, kwani rushwa na ccm ni chanda na pete! uji na mgonjwa! pipa na mfuniko! uzi na sindano! 😀
 
Mpaka Ule Mhimili Uamue Kufanya Hivyo Ila Sasa Hivi Tunatazama Mambo Yaende
 
Nimetafakar san jambo hili lakini binafsi sioni jitihada wala nia ya dhati ya kukomesha ufisadi, rushwa, ubadhirifu wa mali za umma!! Hivi kwel tunaona tume zikiundwa mara vikosi kazi! Je kwann haviundwi vikosi kaz vya kuchunguza ufisadi, na rushwa?

Tumeona report nying za CAG mpaka kuweka waz vitengo husika kweny ubadhirifu na ufisadi, lakini hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa kwa wahusika, mwisho wa siku ngoma inalala!! Je utawala wetu unabariki ufisadi na hayo mengine niliyoelezea? Kama hapana je kwann hawawachukulii hatua wahusika? Na kama wanachukuliwa hatua mbona kimya kimya?

Hatuwaoni wahusika pale kisutu au Mahakama nyingine? Kama Taifa ni vzr tupate majibu juu ya tatizo sugu mnoo la ufisadi,rushwa na ubadhirifu! NB; kila kukicha tunaona Mahakamani washtakiwa wa wizi wa kuku, mbuzi, ng'ombe, mara wezi wa milion mbili za halmashauri, lakini wezi wa Billions kamwe huez waona Mahakaman na kupelekwa kwa bwana jela.
Jibu rahisi ,la kweli na fupi ni HAKUNA.
 
Kupambana na ufisadi ni jukumu la pamoja, Anza kwa kuacha kumdanganya muajiri wako ili upate fedha za Ofisi, unaishi kwa zaidi ya unacholipwa
Nimetafakar san jambo hili lakini binafsi sioni jitihada wala nia ya dhati ya kukomesha ufisadi, rushwa, ubadhirifu wa mali za umma!! Hivi kwel tunaona tume zikiundwa mara vikosi kazi! Je kwann haviundwi vikosi kaz vya kuchunguza ufisadi, na rushwa?

Tumeona report nying za CAG mpaka kuweka waz vitengo husika kweny ubadhirifu na ufisadi, lakini hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa kwa wahusika, mwisho wa siku ngoma inalala!! Je utawala wetu unabariki ufisadi na hayo mengine niliyoelezea? Kama hapana je kwann hawawachukulii hatua wahusika? Na kama wanachukuliwa hatua mbona kimya kimya?

Hatuwaoni wahusika pale kisutu au Mahakama nyingine? Kama Taifa ni vzr tupate majibu juu ya tatizo sugu mnoo la ufisadi,rushwa na ubadhirifu! NB; kila kukicha tunaona Mahakamani washtakiwa wa wizi wa kuku, mbuzi, ng'ombe, mara wezi wa milion mbili za halmashauri, lakini wezi wa Billions kamwe huez waona Mahakaman na kupelekwa kwa bwana jela.
 
Kupambana na ufisadi ni jukumu la pamoja, Anza kwa kuacha kumdanganya muajiri wako ili upate fedha za Ofisi, unaishi kwa zaidi ya unacholipwa
Mkuu chiembe nadhan hapa bado hujaisaidia jamii na Taifa kwaujumla!! Ilitakiwa elimu toka shule za awali mpaka vyuo rushwa ufisadi ni adui, pili ziwepo sheria kali, la Mwisho iwepo taasisi imara ya kusimamia hayo!!
 
Mkuu kuna rushwa za aina mbili;
1. Rushwan inayoanzia chini (wapokea rushwa ni watu wa kada za chini)- Hii ni rahisi mno kuipiga vita na kuimaliza ndani ya muda mfupi.
2. Rushwa inayoanzia juu- (wapokea rushwa wakubwa ni watu walioko juu) - Hii ni ngumu mno mno kupambana nayo kwani lazima upate vikwazo toka juu kwani pia hujengwa syndicate ya kupokea rushwa hizo. Ni hatari pia sana kuifuatilia.
 
Siku zote rushwa ikishakuwa imetamalaki kule juu ni ngumu mno kuipiga vita kwani ni hatari pia!
Rushwa rahisi kuipiga vita ni ile iliyo ktk ngazi za chini lakini kule juu wawe ni waadilifu!
 
Back
Top Bottom