Je kuna kipimo cha kutambua tarehe ambayo umepata mimba?

Kitchetche

Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
71
Reaction score
78
Wakuu poleni na majukumu, kama kichwa kinavyosema hapo naomba kujua kama kuna kipimo cha kujua tarehe halisi uliyopata mimba.

Naomba kuwasilisha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachezaje mchezo ambao haujui sheria na taratibu zake?

Usikimbie majukumu.

"the highest risk should give maximum profit"
 
Wewe piga hesabu mara ya mwisho kuona siku zako ni lini, mnataka mrahisishiwe kila kitu!

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Hata mi nasikiaga mtu anasema ameenda kupima akaambiwa ana mimba ya miezi miwili mfano

Em na mie nisubiri majibu
 
Nikusema kwamba unataka kujua mimba niyanani ?????? .nahisi kujua mimba imeingia tarehe gani ,,nijibu unaloutaji ili ujue mimba niyanani...

Kinyume nahapo wala haiku's nahaja yakujuabimeingia tarehe gan zaidi yakuambiwa una " ujauzito wawiki mbili".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…