Akilihuru JF-Expert Member Joined May 20, 2022 Posts 1,512 Reaction score 2,980 Oct 28, 2022 Thread starter #21 The Icebreaker said: Mzee Jangala yupo Dar mpaka leo,kuna mahojiano yake ya hivi karibuni kipindi cha Mswahili kinachoendeshwa na Zembwela,niliona Youtube,nenda Youtube utaona hayo mahojiano Mkuu. Click to expand... Asante sana mkuu, ngoja nitayatafuta mahojiano yao.
The Icebreaker said: Mzee Jangala yupo Dar mpaka leo,kuna mahojiano yake ya hivi karibuni kipindi cha Mswahili kinachoendeshwa na Zembwela,niliona Youtube,nenda Youtube utaona hayo mahojiano Mkuu. Click to expand... Asante sana mkuu, ngoja nitayatafuta mahojiano yao.
Akilihuru JF-Expert Member Joined May 20, 2022 Posts 1,512 Reaction score 2,980 Oct 28, 2022 Thread starter #22 The Icebreaker said: Kipindi cha mzee Jangala kilikua kinaanza na Wimbo wa mdhamini wa kipindi ambae ni pombe ya Chibuku, "Tutumieee chibukuuu ni pombe boora...." Click to expand... Kweli wa enzi hizo tupo wengi mkuu. Hii inafurahisha na kutia moyo sana.
The Icebreaker said: Kipindi cha mzee Jangala kilikua kinaanza na Wimbo wa mdhamini wa kipindi ambae ni pombe ya Chibuku, "Tutumieee chibukuuu ni pombe boora...." Click to expand... Kweli wa enzi hizo tupo wengi mkuu. Hii inafurahisha na kutia moyo sana.