Je, kuna madhara gani kwa mtoto ambaye mama alijaribu kutoa mimba na misoprostol lakini haikutoka?

Je, kuna madhara gani kwa mtoto ambaye mama alijaribu kutoa mimba na misoprostol lakini haikutoka?

Pole Sana mkuu japo unajaribu kificha kuwa niwewe. Hayo matone nisehemu ya ukuaji wa mimba hivyo kutakuwa na athari kubwa au ndogo au zisiwepo hakuna jibu la moja kwa moja
 
Mungu amsaidie lakini ukishaanza kuichokonoa mimba madhara ni mengi
Kwa uchache unaweza kupata1/ mtoto njiti
2/mtoto kufia tumboni
3/mtoto kutoka na kasoro(malformations
Na nyingine nyingiii lkn zinaweza zisitokee pia
 
Kama mimba bado ipo hakuna madhara yoyote. Kama ikitokea ni kwa asilimia chache.
Hiyo imewahi kumkuta mdogo ake na rafiki yangu mkee kajifungua mtoto anamiezi 3 akapata mimba nyingine.
Wakajaribu kuitoa mimba ikagoma kutoka kwenda hospital daktari akasema hakuna tatizo lolote kama mimba ilikuwa chini ya 1 month. Dogo alizaliwa hana tatizo lolote
 
Screenshot_20240624-223819_Lite.jpg
 
Eti nimeikuta fb, acha uongo wewe. Mmeyakanyaga na demu wako. Ndio mnaoleta watoto vichwa vikubwa au mazezeta
Pole Sana mkuu japo unajaribu kificha kuwa niwewe. Hayo matone nisehemu ya ukuaji wa mimba hivyo kutakuwa na athari kubwa au ndogo au zisiwepo hakuna jibu la moja kwa moja
Hata kama ni yeye huna haja kufukunyua lengo hapa ni kumpa ushauri kama unao. Hakuna aliyemkamilifu mbele za Mungu, wote tuna dhambi. Ni wangapi umewapa mimba ukijua au bila kujua wakatoa? Acheni kumtupia mawe kama huna cha kumsaidia ni bora ukae kimya. Maana kitendo cha kuandika hapa tena kwa siri ni anataka msaada na sio kuhukumiwa.
 
Back
Top Bottom