M Mazoeya Senior Member Joined Jul 10, 2018 Posts 102 Reaction score 84 Nov 29, 2018 #1 Habari wakuu,naomba mnijuze kama kuna athari yoyote ya kupaka usoni majimaji ya mmea wa alovera. Pia naomba mnijuze kama kuna faida ya kupaka majimaji hayo.Nasubiri mawazo yenu , asanteni.
Habari wakuu,naomba mnijuze kama kuna athari yoyote ya kupaka usoni majimaji ya mmea wa alovera. Pia naomba mnijuze kama kuna faida ya kupaka majimaji hayo.Nasubiri mawazo yenu , asanteni.
Hanitoni JF-Expert Member Joined Nov 9, 2015 Posts 1,146 Reaction score 990 Nov 30, 2018 #2 We paka tu haina madhara. Faida tu ninyingi sana silibaaaaa unavotaka mkuu
Ochumeraa JF-Expert Member Joined May 18, 2015 Posts 4,505 Reaction score 5,715 Nov 30, 2018 #3 Pia usisahau kuwa ukiyanywa yanafanya meno yang'ae
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,917 Nov 30, 2018 #4 Una acne? Uso wako wa mafuta au?
sonnita JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 1,787 Reaction score 1,918 Dec 1, 2018 #5 farkhina said: Una acne? Uso wako wa mafuta au? Click to expand... Je kama anavyo? Mimi pia mara chache chache natumia maji ya huo mmea(aloe vera). Uso wangu una mafuta pia acne zisizoisha.(they come and go).
farkhina said: Una acne? Uso wako wa mafuta au? Click to expand... Je kama anavyo? Mimi pia mara chache chache natumia maji ya huo mmea(aloe vera). Uso wangu una mafuta pia acne zisizoisha.(they come and go).