Je, kuna madhara kwa feni ya rejeta kuwaka moja kwa moja?

Je, kuna madhara kwa feni ya rejeta kuwaka moja kwa moja?

luqman luqman

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2014
Posts
846
Reaction score
1,394
Wakuu habari za majukumu?

Hopefully kila mtu anatumia nafasi yake kujikinga na COVID19.

Gari yangu ni Toyota Vitz ya mwaka 2004 yenye 1290 CC. Juzi nikiwa katika mizunguko yangu ilinionesha taa ya overheating, bahati nzuri sikua mbali na fundi ninayemfahamu.

Baada ya uchunguzi fundi aligundua ile control ya feni imekufa lakini feni ni nzima.. akaniungia moja kwa moja yaani ukiweka tu switch ON feni inafunguka.. kanambia nitumie hivo hivo wakati nikitafuta hiyo control nyingine.

Natumia japo sina amani maana sio kama ilivokuwepo.

Wassalam


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
madhara yake ni kidogo kidogoooooo kiasi kwamba unaweza usinotice. Feni ikizunguka all the time maana yake engine haitopata moto na hasa ukiwa unaendesha, hii ina affect unywaji wa mafuta wa gari kwa sababu gari itakuwa haijafikia proper operating temperature. Engine inatakiwa iwe moto ili ifanye kazi inavyotakiwa.

Fundi wako amekwambia ni relay au ni thermostat? In sort fanya utafute icho kinachotakiwa uendeshe chombo chako kwa uhakika. Hio feni kuwa wazi all the time ni kero nayo 😀
 
madhara yake ni kidogo kidogoooooo kiasi kwamba unaweza usinotice. Feni ikizunguka all the time maana yake engine haitopata moto na hasa ukiwa unaendesha, hii ina affect unywaji wa mafuta wa gari kwa sababu gari itakuwa haijafikia proper operating temperature. Engine inatakiwa iwe moto ili ifanye kazi inavyotakiwa.

Fundi wako amekwambia ni relay au ni thermostat? In sort fanya utafute icho kinachotakiwa uendeshe chombo chako kwa uhakika. Hio feni kuwa wazi all the time ni kero nayo 😀

Ni kero sana mkuu.. kelele zinakua nyingi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
madhara yapo tena mengi tuu ww kama ni mmiliki wa hiyo gari mda mrefu iendeshe kama utakuwa makin utaanza kutambua jambo moja moja..

kwanza ulaji wa mafuta lazima uongezeke .performanc ya engine lazima ibadilike. Baada ya mda fulani engine huwa inajaa sana uchafu ukoko ndani ya engine kwenye cyrinder head na kwenye block wa oil huganda ganda .
ubadilishaji pia wa gear unakuwa sio mzuri.
na mengineyo.

fundi kakuongopea fen ya vits haina control yoyote mfumo wake ni signal kutoka kwenye ECU kwenda kwenye RELAY iweze kuwasha FEN switch ya THW hupeleka signa ya joto la maji ya kwenye engine ili kuifanya ECU itoe signal kwenda relay..RELAY yenyewe ikipokea signal toka kwenye ECU basi itafanya kazi ya kupeleka moto kwenye FEN na fen itawaka ili kupooza maji kwenye rejeta..

so hapo kuna vitu vi 3

THW
RELAY
ECU/CONTROL BOX.
 
Achana na hiyo biashara Mkuu..
Baada ya muda utapata hasara ya vitu kibao kuharibika na cha Kwanza kuuwa ni bearing ya Kwenye feni pamoja control box
 
Huyo fundi amekufungia hivyo ili ikusukume hizi siku mbili tatu.

Ila kimsingi unatakiwa kwenda kufaya check up ya gari ili ujue shida ipo wapi. Gari zikikaa muda mrefu zinakuwa na changamoto kadhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
madhara yapo tena mengi tuu ww kama ni mmiliki wa hiyo gari mda mrefu iendeshe kama utakuwa makin utaanza kutambua jambo moja moja..

kwanza ulaji wa mafuta lazima uongezeke .performanc ya engine lazima ibadilike..
baada ya mda fulani engine huwa inajaa sana uchafu ukoko ndani ya engine kwenye cyrinder head na kwenye block wa oil huganda ganda .
ubadilishaji pia wa gear unakuwa sio mzuri.
na mengineyo.

fundi kakuongopea fen ya vits haina control yoyote mfumo wake ni signal kutoka kwenye ECU kwenda kwenye RELAY iweze kuwasha FEN switch ya THW hupeleka signa ya joto la maji ya kwenye engine ili kuifanya ECU itoe signal kwenda relay..RELAY yenyewe ikipokea signal toka kwenye ECU basi itafanya kazi ya kupeleka moto kwenye FEN na fen itawaka ili kupooza maji kwenye rejeta..

so hapo kuna vitu vi 3

THW
RELAY
ECU/CONTROL BOX.

IMG_1474.JPG

Ni hicho ndio chenye shida kwa mujibu wa maelekezo ya fundi




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Fundi alinishauri kuondoa thermostat kwa madai kuwa inazuia mzunguko wa coolant hivyo kupelekea fan kuzunguka muda mrefu.
Ushauri huu hauna madhara?
madhara yake ni kidogo kidogoooooo kiasi kwamba unaweza usinotice. Feni ikizunguka all the time maana yake engine haitopata moto na hasa ukiwa unaendesha, hii ina affect unywaji wa mafuta wa gari kwa sababu gari itakuwa haijafikia proper operating temperature. Engine inatakiwa iwe moto ili ifanye kazi inavyotakiwa.

Fundi wako amekwambia ni relay au ni thermostat? In sort fanya utafute icho kinachotakiwa uendeshe chombo chako kwa uhakika. Hio feni kuwa wazi all the time ni kero nayo 😀

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fundi alinishauri kuondoa thermostat kwa madai kuwa inazuia mzunguko wa coolant hivyo kupelekea fan kuzunguka muda mrefu.
Ushauri huu hauna madhara?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mafundi tuliokuwa nao hasa mtihani. kumbe tatizo thermostart. Hii ni sensor ambayo ina ripoti kwa ECU kuipa habari za joto la engine, ECU inapotambua joto lishakuwa kali sana sasa huwasha feni.

Thermostat inapofeli, maana yake ECU haipati taarifa kama joto lipo sawa au limezidi ndio maana feni haiweki mana ECU inajua kuwa engine ipo kwa moto mdogo.

Kanunue thermostat nyengine na uiweke, tatizo litakwisha
 
Nakushukru kwa ushauri mkuu. Ngoja nikaufanyie kazi.
Mafundi tuliokuwa nao hasa mtihani. kumbe tatizo thermostart. Hii ni sensor ambayo ina ripoti kwa ECU kuipa habari za joto la engine, ECU inapotambua joto lishakuwa kali sana sasa huwasha feni. Thermostat inapofeli, maana yake ECU haipati taarifa kama joto lipo sawa au limezidi ndio maana feni haiweki mana ECU inajua kuwa engine ipo kwa moto mdogo.

Kanunue thermostat nyengine na uiweke, tatizo litakwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom