mimi mjamaa kama huyu naweza mpeleka hata polisi afungwe hata mwaka...mimi mwanaume jinga jinga siwezi kwa kweli siwezi.....mwanaume wa kujua tu maisha magumu hadi aombewe? siwezi..
mimi mjamaa kama huyu naweza mpeleka hata polisi afungwe hata mwaka...mimi mwanaume jinga jinga siwezi kwa kweli siwezi.....mwanaume wa kujua tu maisha magumu hadi aombewe? siwezi..
ni kisema heri niwe single naonekana mbaya...
eti wakiitwa wanawake wenye wanaume nae anaenda.....
mmmmh dunia hii ya kesho keri ya jana....
mwambie anijoin kwenye chama..... heri mimi k yangu iendelee kunenepa kuliko itumike iishe na brain nayo inaisha...for what....bye.
sio mmepungua hampo kabisa
ukipenda boga penda na ua lake....period!
ni kisema heri niwe single naonekana mbaya...
eti wakiitwa wanawake wenye wanaume nae anaenda.....
mmmmh dunia hii ya kesho keri ya jana....
mwambie anijoin kwenye chama..... heri mimi k yangu iendelee kunenepa kuliko itumike iishe na brain nayo inaisha...for what....bye.
sio mmepungua hampo kabisa