Stanboy JF-Expert Member Joined Jul 4, 2013 Posts 1,114 Reaction score 1,308 Mar 11, 2014 #1 Ndg zangu, Nahitaji kujua kama kuna madhara yoyote kutahiri ukiwa na umri kuanzia miaka 16- Asanteni.
Ndg zangu, Nahitaji kujua kama kuna madhara yoyote kutahiri ukiwa na umri kuanzia miaka 16- Asanteni.
DZUDZUKU JF-Expert Member Joined Nov 8, 2012 Posts 3,909 Reaction score 2,115 Mar 11, 2014 #2 Kama aliwahi kuonja papuchi siku nyingine akionja hata ona raha kama mara ya kwanza, zaidi ya hapo hakuna madhara ya aina yeyote ile.
Kama aliwahi kuonja papuchi siku nyingine akionja hata ona raha kama mara ya kwanza, zaidi ya hapo hakuna madhara ya aina yeyote ile.
Iyokopokomayoko JF-Expert Member Joined Sep 15, 2011 Posts 1,785 Reaction score 442 Mar 12, 2014 #3 Hakuna madhara yeyote ila unashauriwa uwe maeneo yenye baridi sana, kwahiyo nenda Arusha, Mbeya au Mufindi hivi.
Hakuna madhara yeyote ila unashauriwa uwe maeneo yenye baridi sana, kwahiyo nenda Arusha, Mbeya au Mufindi hivi.
VANCOUVER JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 336 Reaction score 19 Mar 15, 2014 #4 hakuna madhara mkuu
g click JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 2,427 Reaction score 505 Mar 15, 2014 #5 hakuna madhara ila inakuaje uchelewaji kiasi hicho kama watu wa kanda fulani vile
geniusbaraka JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 795 Reaction score 155 Aug 5, 2014 #6 liache gov
asrams JF-Expert Member Joined Sep 4, 2011 Posts 4,798 Reaction score 2,652 Aug 5, 2014 #7 Stanboy said: Ndg zangu, Nahitaji kujua kama kuna madhara yoyote kutahiri ukiwa na umri kuanzia miaka 16- Asanteni. Click to expand... Hata ukiwa na umri wa miaka 50 mshorombo lazima ukatwe
Stanboy said: Ndg zangu, Nahitaji kujua kama kuna madhara yoyote kutahiri ukiwa na umri kuanzia miaka 16- Asanteni. Click to expand... Hata ukiwa na umri wa miaka 50 mshorombo lazima ukatwe