Pre GE2025 Je, kuna matukio yanatengenezwa ili kuchepusha mijadala ya uchafuzi wa uchaguzi wa serikali za mitaa?

Pre GE2025 Je, kuna matukio yanatengenezwa ili kuchepusha mijadala ya uchafuzi wa uchaguzi wa serikali za mitaa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Hali ni mbaya sana kuelekea kwenye uchaguzi wao serikali za mitaa. Ukiachilia mbali kule kuchezea daftari la wapiga kura kwa:
  • Kuongeza majina bbandia
  • Kuongeza majina ya waliopotea
  • Kuongeza majina ya wanafunzi
  • Kuongeza majina ya marehemu na katika ujumla wake kughushi taarifa za hayo makundi yote.
Sasa wamekuja na kituko kingine, Wagombea wa upinzani wa nafasi mbali mbali wameenguliwa kwa asilimia 80.

Bila kutafuta matukio makubwa ya kufunika walau kwa muda madudu ya uchafuzi wao uchaguzi wa serikali za mitaa hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Hivyo basi ni lazima kutengeneza matukio makubwa

1. Japo haijathibitishwa ni kwa namna gani iliwezekana lakini tukio la kufungwa Yanga bao 3 kwa moja na Tabora united ni mojawapo.

2. Mkuu wa nchi haonekani, yametengenzwa mazingira ya kumuulizia yuko wapi.

Hii imetoa nafasi kubwa ya kuzalisha mijadala kila kona ya nchi.

Wapangaji wa haya matukio wakiona graph imeshuka watapandisha mengine fasta.

Hivyo basi kuanzia kesho tutegemee kuletewa matukio mapya na yatakuwa ni bandika bandua mpaka uchaguzi upite!
 
Ebu tusubir tuone huu ni muda wa waandishi wa habari kupiga hela huku P Didiy huku Baltaza huku tetesi
 
Lingine litakalo ibuka kesho ni MLIMA KILIMANJARO KUHAMISHIWA MAJITA ILI KUUPISHA MLIMA MTILO UTAKAO HAMISHWA KUTOKA MAJITA KWENDA KATIKATI YA MOSHI VIJIJINI,ROMBO NA HAI PALE.
 
Japo haijathibitishwa ni kwa namna gani iliwezekana lakini tukio la kufungwa Yanga bao 3 kwa moja na Tabora united ni mojawapo.
Hili Yanga anafahamu! Atakuja kurudishiwa point zake kwa kuifunga Tabora United magoli 5-0 (mawili kati ya hayo yatakuwa ya penati za mchongo). Na Simba atakuja kunyongwa baadhi ya mechi ili Yanga atetee ubingwa wake!
 
Ebu tusubir tuone huu ni muda wa waandishi wa habari kupiga hela huku P Didiy huku Baltaza huku tetesi
IMG-20241110-WA0009.jpg
 
Nikiwasalimu kutoka Havana Cuba ni mimi Jooji Marato wa I T Viiiii
 
Hali ni mbaya sana kuelekea kwenye uchaguzi wao serikali za mitaa. Ukiachilia mbali kule kuchezea daftari la wapiga kura kwa:
  • Kuongeza majina bbandia
  • Kuongeza majina ya waliopotea
  • Kuongeza majina ya wanafunzi
  • Kuongeza majina ya marehemu na katika ujumla wake kughushi taarifa za hayo makundi yote.
Sasa wamekuja na kituko kingine, Wagombea wa upinzani wa nafasi mbali mbali wameenguliwa kwa asilimia 80.

Bila kutafuta matukio makubwa ya kufunika walau kwa muda madudu ya uchafuzi wao uchaguzi wa serikali za mitaa hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Hivyo basi ni lazima kutengeneza matukio makubwa

1. Japo haijathibitishwa ni kwa namna gani iliwezekana lakini tukio la kufungwa Yanga bao 3 kwa moja na Tabora united ni mojawapo.

2. Mkuu wa nchi haonekani, yametengenzwa mazingira ya kumuulizia yuko wapi.

Hii imetoa nafasi kubwa ya kuzalisha mijadala kila kona ya nchi.

Wapangaji wa haya matukio wakiona graph imeshuka watapandisha mengine fasta.

Hivyo basi kuanzia kesho tutegemee kuletewa matukio mapya na yatakuwa ni bandika bandua mpaka uchaguzi upite!
Mkuu
Yanatengenezwa mazingira ya uchaguzi kuahirishwa na usiwepo kabisa kama vipi!!

"Uchaguzi wa serikali za mitaa usubiri hadi katiba mpya ipatikane kwanza"

Ndio majibu ya Tumia akili kwenye Uzi wake!
 
Ni ujinga wetu wenyewe.

Yani tunakaa kuanza kujadili mambo ya Yanga na vituko vingine vinavyoendelea tukiwa hatufikirii hatma ya Taifa letu.

Inawezekana akili zetu zimehifadhiwa mahali ndio maana hatujali mambo ya maana.

Hii ni mbaya sana.
 
Hata Ushindi wa Trump ni tukio lililotengenezwa na Watawala wetu kuhakikisha uchaguzi wa SM unafanyika bila kelele.
 
Tatizo malengo ya Dola yeti ni kuhakikisha maisha Bora Kwa watz!?au maisha Bora kwa viongozi!!?

Hapo ndio tatizo,huko kwingine ni kutafutana uchawi!
 
ustaadh mbona sikuoni huku

Hata Ushindi wa Trump ni tukio lililotengenezwa na Watawala wetu kuhakikisha uchaguzi wa SM unafanyika bila
 
Hali ni mbaya sana kuelekea kwenye uchaguzi wao serikali za mitaa. Ukiachilia mbali kule kuchezea daftari la wapiga kura kwa:
  • Kuongeza majina bbandia
  • Kuongeza majina ya waliopotea
  • Kuongeza majina ya wanafunzi
  • Kuongeza majina ya marehemu na katika ujumla wake kughushi taarifa za hayo makundi yote.
Sasa wamekuja na kituko kingine, Wagombea wa upinzani wa nafasi mbali mbali wameenguliwa kwa asilimia 80.

Bila kutafuta matukio makubwa ya kufunika walau kwa muda madudu ya uchafuzi wao uchaguzi wa serikali za mitaa hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Hivyo basi ni lazima kutengeneza matukio makubwa

1. Japo haijathibitishwa ni kwa namna gani iliwezekana lakini tukio la kufungwa Yanga bao 3 kwa moja na Tabora united ni mojawapo.

2. Mkuu wa nchi haonekani, yametengenzwa mazingira ya kumuulizia yuko wapi.

Hii imetoa nafasi kubwa ya kuzalisha mijadala kila kona ya nchi.

Wapangaji wa haya matukio wakiona graph imeshuka watapandisha mengine fasta.

Hivyo basi kuanzia kesho tutegemee kuletewa matukio mapya na yatakuwa ni bandika bandua mpaka uchaguzi upite!
Kawaida hiyo, ndio mbinu za, serikali za hovyo zikikosa Majibu ya issue za msingi,
Kwenye nchi ya samia, ataweka Simba na Yanga,ataua mtu, atatengeneza bifu za kijinga za Mond na kiba,au itavujishwa Mond kamuacha zuchu!
Spinning of the news!
 
Kawaida hiyo, ndio mbinu za, serikali za hovyo zikikosa Majibu ya issue za msingi,
Kwenye nchi ya samia, ataweka Simba na Yanga,ataua mtu, atatengeneza bifu za kijinga za Mond na kiba,au itavujishwa Mond kamuacha zuchu!
Spinning of the news!
Next week tutege vema masikio yetu...
 
Back
Top Bottom