Je kuna mtu anaifahamu historia ya Benjamin Mkapa?

Je kuna mtu anaifahamu historia ya Benjamin Mkapa?

MwanaFalsafa1

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
5,565
Reaction score
843
Salamu wakuu. Nilikua naomba kufahamu kama kuna mtu ana fahamu kidogo historia ya huyu raisi wetu mstaafu kuanzia udogoni mpaka kuja kuupata uraisi. Nimegundua najua kidogo sana kuhusu historia ya huyu bwana ukiacha kwamba alikuaga muandishi wa habari.
 
Alijiuzia kiwila mining kwa bei ya kutupa kama bure hivi.0
Aliuza nchi na ufisadi wa kutupa ukaanzia hapo.
Endelea.....
 
Alisoma tabora government school na alifundishwa na mwalimu.
 
Rais aliyesajili kampuni brela yeye na mkewe ANBEM,ana bank na jeetu patel,nimrod mkono inaitwa BANK M
 
au waweza kumuona ana kwa ana akalusimulia mwenyewe, mbona ni mstaafu hana majikumu mengi.
 
Kwa kweli ana CV nzuri sana.
Ila nashindwa kuelewa, kwa nini alikuwa mwizi, mwenye tamaa na asiye na
uchungu na hii nchi? Au ana akili fupi kama yeye mwenyewe?...

matokeo ya ruksa kulivunja azimio la arusha.Mbona mnakuwa wasahaulifu?memento 'ze utamu'?
 
Alizaliwa wapi? Akaoa lini na nani? anawatoto wangapi? je anawake wangapi?
 
Back
Top Bottom