Je, kuna mwana Yanga mwenye hofu na Mudathir Yahaya?

Je, kuna mwana Yanga mwenye hofu na Mudathir Yahaya?

Joined
Oct 19, 2022
Posts
62
Reaction score
59
Siku aliyo tambulishwa Mudathir Yahaya baadhi ya mashabiki wengi wa Yanga waliokusoa uongozi kuwa wamesajili galasa, hali ya kuwa wengi hawakujuwa uwezo halisi wa uyo mchezaji.

Sasa je, katika izi mechi mbili za Mapinduzi alizocheza kwa tulivyoona uwezo wake kuna mwananchi yoyote mwenye mashaka na uwezo wa Mudathir?
 
Back
Top Bottom