Leo ikiwa wenzetu huku kenya wapo kweny sikukuu ya Mdaraka ''Madaraka day '' , kiongozi mmoja huko Uganda ameachia video ya utupu mtandaoni akila raha duniani . Kiongozi huyu jina maarufu father Lucian.
Video hizo mbili zinaonyesha yeye akiwa ndio anarekodi .
Je, nini kipo nyuma ya matukio haya? Au ni makusudi !
Tatizo ni wafukunyuzi sasa wewe kama haijaja kwenye inbox yako au kulazimishwa kuiangalia hao haujatoka kwenye taarifa ya habari kwenye luninga yako..., umekwenda kuifukunyua hio haina tofauti na kuchungulia watu dirishani wakiwa kwenye raha zao...