patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 574
Salaam wana JF.
Ningependa kujua, ni njia zipi naweza tumia, (bila DNA Test) ili nithibitishe kuwa mtoto ni damu yangu halisi.
Mwenye kufahamu hili anijuze.
Asante.
Ningependa kujua, ni njia zipi naweza tumia, (bila DNA Test) ili nithibitishe kuwa mtoto ni damu yangu halisi.
Mwenye kufahamu hili anijuze.
Asante.