cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,869
Hilo sotojo limegomaNdugu zangu mimi ni mpishi ninaependa kupika na pia kula vyakula vilivyoandaliwa kwa afya nimesoma na kuona kuwa matumizi ya viungo kama hamira baking powder na bicarbonate soda na vanilla na vinginevyo sio mazuri kwa afya sasa nimekuwa najiuliza kuwa je ipo njia gani ili upike na upate mkate mzuri au keki au doughnut nzuri bila hayo madubwasha. Nimejaribu kupika lakini sijapata matokeo mazuri naomba uzoefu wenu. View attachment 760387
Mkuu hamira watu huweka lbda kwa kutaka uumuke haswa ikiwa ni mkate wa biashara.Ndugu zangu mimi ni mpishi ninaependa kupika na pia kula vyakula vilivyoandaliwa kwa afya nimesoma na kuona kuwa matumizi ya viungo kama hamira baking powder na bicarbonate soda na vanilla na vinginevyo sio mazuri kwa afya sasa nimekuwa najiuliza kuwa
Je, ipo njia gani ili upike na upate mkate mzuri au keki au doughnut nzuri bila hayo madubwasha.
Nimejaribu kupika lakini sijapata matokeo mazuri naomba uzoefu wenu. View attachment 760387
Thanks!Mkuu hamira watu huweka lbda kwa kutaka uumuke haswa ikiwa ni mkate wa biashara.
Ila baking powder ni muhimu katika mkate wa mayai.