Je, kuna sera madhubuti za kuilinda SGR na Rapid trani?

Je, kuna sera madhubuti za kuilinda SGR na Rapid trani?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Serikali imejiandaa vipi dhidi ya wahujumu uchumi na mali za shirika la reli Tanzania? Kama tunavyojua treni zinaweza kuwa mbadala mkubwa wa mabasi ya mikoani DAR TO MORO na wamiliki wa mabasi hawatokuwa nyuma kuhujumi uchumi wa shirika.

walamsiki
 
Serikali imejiandaa vipi dhidi ya wahujumu uchumi na mali za shirika la reli Tanzania?Kama tunavyojua treni zinaweza kuwa mbadala mkubwa wa mabasi ya mikoani DAR TO MORO na wamiliki wa mabasi hawatokuwa nyuma kuhujumi uchumi wa shirika.

walamsiki
Ni suala la muda tu, SGR haiwezi kukwepa kuhujumiwa.
Kwani TAZARA iko wapi?
 
Serikali imejiandaa vipi dhidi ya wahujumu uchumi na mali za shirika la reli Tanzania?Kama tunavyojua treni zinaweza kuwa mbadala mkubwa wa mabasi ya mikoani DAR TO MORO na wamiliki wa mabasi hawatokuwa nyuma kuhujumi uchumi wa shirika.

walamsiki
Wengi wao walitajirika kupitia wanyamapori wetu na asili yao ni kulee!!
 
Back
Top Bottom