Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Si uende kwenye riba ndogo we umewekewa makande na pilau utaanzaje kuchagua makande
BOT wana matatizo
Tatizo la Nchi yetu, waliopo kwy sectors za mabenki wanawachukulia poa sana, watu wa kawaida na kuwadharau na ndio maana hawataki kufanya bihashara ya mikopo na mtu ambae hana mshahara. Na hiii imepelekea wengi wasiokuwa na mishahara kutopenda kujihusisha na mabenki wanatumbukia kwy vikoba ambako uko wanapigwa pesa nyingi sana. Alafu serikali haina wafatiliaji, wengi ni wajanja wajanja na wezi tuuu, na wananufaika na wizi uliopo ktk sectors za mikopo. Ukienda bank ukiwaulizia kwamba nataka kuchukua kiasi fulani kwa mwaka kadhaa hatakwambia ukweli utasikia kwa mwezi utalipia hiii ukimwambia nataka asilimia nitakayorudisha lazima hakupige chenga usijue na ndio apo janja janja inapokuwepo. Nchii hii waliopo kwy sectors za benki wanakuwaga wanawaza watu wote hawajui hesabu.Hivi wakuu, kwenye suala la mikopo hakuna sheria ya nchi kupitia BOT inayoongoza hizi riba?
Kwanini riba ya NMB, CRDB, TPB BANK n.k zinatofautiana? Riba constant ya nchi ni ipi kisheria kwa kila mkopo?
Halafu hizi riba za Hawa BAYPORT, PLATNUM n.k zinaonekana ni kubwa kuliko riba za mabenki hii ikoje? Sheria imetamka lolote kuhusu ukomo (in maximum) wa riba za taasisi kama hizi?
Au mtoa huduma kupitia sheria zake ndio anajipangia atoze riba kiasi gani?
Wajuzi mnitoe tongotongo[emoji41][emoji41][emoji41]
Hawana cha riba ndogo wala niniNasikia BOA riba yao ndogo sana nenda huko
Nasikia BOA riba yao ndogo sana nenda huko