Je kuna sheria ya kumlinda mtuhumiwa dhidi ya unyanyasaji anapokamatwa na askari?

Je kuna sheria ya kumlinda mtuhumiwa dhidi ya unyanyasaji anapokamatwa na askari?

hemedy ibrah

New Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
4
Reaction score
1
Ndugu zangu, tumekuwa tukishuhudia baadhi ya askari police wakiwakamata kwa kuwastukiza watu bila kuwapa taarifa zaidi juu ya kitu walichomkamatia.
Tena wana msemo ya kwamba ukitaka maelezo zaidi utayajua huko huko kituoni.

Je swali langu ni kwamba kuna sheria yoyote inayoweza kumlinda mtuhumiwa ili kukiepuka kitendo hiko cha udhalili?
 
Ipo na hususani sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai
 
Back
Top Bottom