RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,432
Ukisoma Kitabu cha Mwanzo katika Biblia Takatifu Mwenyezi Mungu Aliweka Walinzi yaani Malaika Katika Bustani ya Eden ili tu Binadamu asiweze Kula Tunda La uhai maana Akilila Ataishi Milele.
Je Kutokana Na Mwenyezi Mungu kuweka Walinzi Je kuna Uwezekano au Mwenyezi Mungu anajua Kuna Siku Binadamu ataweza Kufikia Mahali hapo na Kulila Hilo Tunda Ndo maana Akaweka Walinzi?.
MWANZO 3:22-24
Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Sasa, binadamu amekuwa kama mmoja wetu, anajua mema na mabaya. Lazima kumzuia kula lile tunda la mti wa uhai, kwani akilila ataishi milele!” Basi, Mwenyezi-Mungu akamfukuza Adamu nje ya bustani ya Edeni, ili akailime ardhi ambamo alitwaliwa. Alimfukuza nje, na kuweka mlinzi upande wa mashariki wa bustani ya Edeni na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia iendayo kwenye mti wa uhai.
Mwanzo 3:22-24.
Maswali makuu ninayojiuliza
1. Binadamu tunaweza Ishi Milele kama tukiweza Kula Hilo Tunda?
2. Kwanini Mungu ameweka walinzi? Je! Ni kutuzuia sisi pekee au
3. Je ipi mission ya Hizi Secret society tunazoambiwa Je si kwamba Zinatafuta Njia ya Kuweza Kufika Huo Mti wa Uhai
Je Kutokana Na Mwenyezi Mungu kuweka Walinzi Je kuna Uwezekano au Mwenyezi Mungu anajua Kuna Siku Binadamu ataweza Kufikia Mahali hapo na Kulila Hilo Tunda Ndo maana Akaweka Walinzi?.
MWANZO 3:22-24
Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Sasa, binadamu amekuwa kama mmoja wetu, anajua mema na mabaya. Lazima kumzuia kula lile tunda la mti wa uhai, kwani akilila ataishi milele!” Basi, Mwenyezi-Mungu akamfukuza Adamu nje ya bustani ya Edeni, ili akailime ardhi ambamo alitwaliwa. Alimfukuza nje, na kuweka mlinzi upande wa mashariki wa bustani ya Edeni na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia iendayo kwenye mti wa uhai.
Mwanzo 3:22-24.
Maswali makuu ninayojiuliza
1. Binadamu tunaweza Ishi Milele kama tukiweza Kula Hilo Tunda?
2. Kwanini Mungu ameweka walinzi? Je! Ni kutuzuia sisi pekee au
3. Je ipi mission ya Hizi Secret society tunazoambiwa Je si kwamba Zinatafuta Njia ya Kuweza Kufika Huo Mti wa Uhai