Lakini Mungu wako kukuumba wewe mmatumbi halafu usome kiarabu ndio ujue dini unaona sawa!?? Si angekuumba arabuni hukohuko!?? Kupewa bikra 72 ndio unaona sawa!?? Wanawake watapewa wanaume wangapi!?? Au wao hawana Chao kazi yao ni kukamiwa tu kushonwa tu ...ndio unaona sawa!??