Je kuna tofauti ya joto la mwili kati ya mtoto mchanga na mtu mzima?

Je kuna tofauti ya joto la mwili kati ya mtoto mchanga na mtu mzima?

akohi

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
787
Reaction score
526
Naamini hakuna ila cha kushangaza ni pale wakati wa joto kali, mzazi analala bila nguo ila mwanae gubi gubi (kavishwa nguo nzito na blanket juu)

Inakuwaje hapo?
 
hivi wewe akohi.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom