Chanzo kikubwa Cha mapato ya serikali ni kukusanya Kodi, Hawa wanaoruka Kila siku kiguu na njia kwenda kufata mikopo ndo wanatuua kabisa, ikifika muda wa kulipa hawana namna zaidi za kumkandamiza mwananchi kupitia Kodi ili warudishe pesa za mikopo
Huu ni mwanzo tu, kwa wanachofanya huyu mama na Mzee wa singida we subiri baada ya miaka mitano tutalia na kusaga meno